Mkali kutoka kampuni ya YMCMB Cash Money Records
na Co-founder wa kampuni hiyo mtu mzima Birdman kuacha
muziki pale ambapo na lil wayne ataacha muziki, akipiga
story na complex magazine Birdman alisema ..
“Kitu kimoja
kuhusu mwangu ni kwamba anachokisema anakimaanisha
Lil wayne akiacha muziki na mimi naacha kufanya muziki
kwa sababu kutakua hakuna haja tena ya kufanya muziki
atatupeleka tunapotaka kwenda, Wayne akiacha muziki naacha pia”
Vutu vingine alivyoongelea katika interview hiyo ni pamoja
na kufanya kazi na The Game na Rick Ross anawakubali sana
atapenda sana wakisaini na Cash Money Records kupiga kazi.
Alisema “ Ingawa Game amesaini na Interscope itakua kuna
album anafanya lakini time ikifika ntapenda nisaini nae ndani ya
YMCMB na navutiwa sana na anachokifanya Rozay ndani ya
Maybach Music Group lakini sio kali sana inapokuja kufanya
na Kanye West kutoka G.O.O.D Music.”
Aliongeza “ wanafanya wanachokifanya sana lakini nadhani
Khaled na Rozay wanafanya fresh kidogo” Alisema Biird man.
No comments:
Post a Comment