PICS FROM MLIMANI CITY (TZ) @ THE KILI MUSIC AWARDS 2012...!!!
Mc's wa KTMA2012 Vanessa Mdee & Millard Ayo on point
Halima, Myler & Shamim aka Zeze
Warembo wakiwakilisha
Mpoki akifanya vitu vyake
Swagga za Bibi Cheka ndani ya Red Carpet KTMA2012
Ukumbi umependeza sana
Mzee Yusuf busy na interview
President wa wasafi aka Diamond Platinumz
Interview ikiendlea
Watu kwenye Red Carpet
Millardayo Mtangazaji wa Cloudsfm
Muwakilishi wa kundi la Arusha Gold akipokea tuzo ya Wimbo bora wa Ragga,kutoka kwa mwanadada Khadija Mwanamboka.
Mshindi wa tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk Rhumba,Ali Kibaa akikabidhiwa tuzo yake na Mwanadada Dina Marios wa Clouds Fm na Mkongwe Rainfred Masako wa ITV.
Alikiba na tuzo yake
Mze majuto na Sharo Millionaire
Ommy D akizawadiwa na Mze Majuto Tuzo yake
President wa wasafi Diamond na Ommy D akichukua tuzo yake ya muimbaji up coming
Roma akipanda kuchukua tuzo yake
Queen Darlin mshindi wa Tuzo ya Dancehall Queen
Wasanii wa Muziki wa Ragga kutoka jijini Arusha wafahamikao kwa jina la Arusha Gold wakitoa shukrani kwa wadau wao waliowapigia kura mpaka kupata ushindi huo
Izzo Business akishanga!!!
Makamuzi yakiendelea
Vijana wa THT wakitoa Burudani
No comments:
Post a Comment