Sunday, April 15, 2012


PICS FROM MLIMANI CITY (TZ) @ THE KILI MUSIC AWARDS 2012...!!!

Mc's wa KTMA2012 Vanessa Mdee & Millard Ayo on point
Halima, Myler & Shamim aka Zeze
Warembo wakiwakilisha
Mpoki akifanya vitu vyake
Swagga za Bibi Cheka ndani ya Red Carpet KTMA2012
Ukumbi umependeza sana
Manyemazzzzzz Diamond & Ommy Dimpoz
Diamond, Mshikaji wake na Mama yake 
Mzee Yusuf busy na interview
President wa wasafi aka Diamond Platinumz 
EATV wapo
Qwhisar producer wa kipindi cha Step Up Player akihojiwa
Interview ikiendlea
Watu kwenye Red Carpet



Millardayo Mtangazaji wa Cloudsfm
Muwakilishi wa kundi la Arusha Gold akipokea tuzo ya Wimbo bora wa Ragga,kutoka kwa mwanadada Khadija Mwanamboka.
 Mshindi wa tuzo ya Wimbo Bora wa Zouk Rhumba,Ali Kibaa akikabidhiwa tuzo yake na Mwanadada Dina Marios wa Clouds Fm na Mkongwe Rainfred Masako wa ITV.
Alikiba na tuzo yake
Mze majuto na Sharo Millionaire
Ommy D akizawadiwa na Mze Majuto Tuzo yake
President wa wasafi Diamond na Ommy D akichukua tuzo yake ya muimbaji up coming




Roma akipanda kuchukua tuzo yake

 Queen Darlin mshindi wa Tuzo ya Dancehall Queen

Wasanii wa Muziki wa Ragga kutoka jijini Arusha wafahamikao kwa jina la Arusha Gold wakitoa shukrani kwa wadau wao waliowapigia kura mpaka kupata ushindi huo



Izzo Business akishanga!!!
Makamuzi yakiendelea
Vijana wa THT wakitoa Burudani

No comments:

Post a Comment