LIVE KUTOKA KINONDONI MAKABURINI KWENYE MAZISHI YA STEVEN KANUMBA
Hii ni barabara ya Kinondoni kuingia kwenye makaburi ya Kinondoni ilikuwa ni balaaaa yani dah, kule mbele ndio mwili wa marehemu Steven Kanumba ndio unakuja
Kwa wingi wa watu ilibidi watu wapande juu ya miti lakini baadae waliamuriwa washuke chini na kamanda Kova
Ray akiwa aamini kama swaiba wake ndio anakwenda kwenye nyumba yake ya milele
Charlz Baba akiwa na wenzake kutoka Mashujaa Band, Charz ameniambia walikuwa wanatokea Morogoro so waliweza kuwahi makaburini
LIVE KUTOKA LEADERS CLUB KWENYE MAZISHI YA STEVEN KANUMBA
Wanakwaya wakiimba nyimbo za uzuni.
Hii ndio sehemu ambayo mwili wa marehemu Kanumba unatarajiwa kuwekwa
Hawa watoto wanaopita ndio watoto waliokuwa wakicheza movie na marehemu Kanumba enzi ya uhai wake
Mama yake Kanumba aliyenyoosha mkono juu kuwapungia watu waliokuja uwanjani
Huyu dada hapa mbele alikuwa akilia kwa uchungu sana hadi nilikuwa namuonea huruma
Hemed na Yusuph Mlela wakiingia
Makamu wa rais Dk. Mohamed Ghalib Bilali
Mke wa rais Mama Salma Kikwete
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akitoa heshima zake za mwisho kwenye mwili wa marehem.
No comments:
Post a Comment