Tuesday, April 10, 2012

THIS IS IT!!! GONE BUT NEVER WILL U BE FORGOTTEN, REST IN PEACE STEVEN KANUMBA...!!!

 Baadhi yaa Waombolezaji wa msiba wa Steven Charles Kanumba wakiwasili kwenye Makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam mchana huu kwa tendo la kuuhifadhi mwili wa Marehemu katika nyumba yake ya Milele

 Eneo litakalowekwa jeneza lenye mwili wa Marehemu Steven Kanumba kwa ajili ya kuzikwa kwenye makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam,mchana huu.
 Mwili ukiwasili kwenye Makaburi ya Kinondoni

 Jeneza Lenye  Mwili wa Marehemu Steven Charles Kanumba ukiingizwa kaburini
Mama Mzazi wa Marehemu Steven Charles Kanumba akiwasili Makaburini huku akiwa ameambatana na Dada Asha Baraka.
 Mama mzazi wa Steven Charles Kanumba akiaga mwili wa mwanae makaburini Kinondoni baada ya zoezi hili kushindikana pale Leaders Club kutokana na msongamano kuwa mkubwa kupita kiasi. 
"Kwaheri mwanagu na upumzika kwa amani"
Ee Mungu msaidie huyu mama na umtie nguvu
Waombolezaji wakiwa wameshika mashada ya maua
 Kaburi la marehemu Kanumba likisakafiwa
 Dah kweli Kanumba umesimika kama mshumaa1 R.I.P we will miss you
Model Millen Magese akiwa na mashada ya maua

No comments:

Post a Comment