Sunday, May 6, 2012

Diamond akishuka kwenye gari.
ICON katika mziki wa Bongofleva Naseeb Abdul ‘Diamond’ jana alitoa msaada katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre ambacho mwanamuziki TID anadaiwa kula fedha za yatima wanaoishi katika kituo hicho kilichopo Kinondoni Hananasif jijini Dar.
Akizungumza na mtandao huu kabla hajakabidhi msaada huo, Diamond alisema kuwa kikubwa zaidi kilichomfanya hadi atoe msaada huo ni kuguswa na maisha wanaoishi  yatima hao.
“Unajua siku zote Mungu anasema unachokipata ugawane na wenzako, sasa mimi pamoja na meneja wangu Joffrey a.k.a Joff tumeona tutoe nusu ya kile tulichokipata  kwa hawa ndugu zetu wanaolelewa katika kituo hiki,” alisema Diamond.…

Diamond akishuka kwenye gari.
ICON katika mziki wa Bongofleva Naseeb Abdul ‘Diamond’ jana alitoa msaada katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre ambacho mwanamuziki TID anadaiwa kula fedha za yatima wanaoishi katika kituo hicho kilichopo Kinondoni Hananasif jijini Dar.
Akizungumza na mtandao huu kabla hajakabidhi msaada huo, Diamond alisema kuwa kikubwa zaidi kilichomfanya hadi atoe msaada huo ni kuguswa na maisha wanaoishi  yatima hao.
“Unajua siku zote Mungu anasema unachokipata ugawane na wenzako, sasa mimi pamoja na meneja wangu Joffrey a.k.a Joff tumeona tutoe nusu ya kile tulichokipata  kwa hawa ndugu zetu wanaolelewa katika kituo hiki,” alisema Diamond.

Baadhi ya mizigo ambayo ilitolewa kama msaada katika kituo hicho ikiwa bado haijashushwa kwenye gari.
Diamond akishauriana kitu na meneja kitu wake Joff.
Diamond akiangalia mizigo jinsi inavyoshushwa.
Diamond akimsaidia mama yake kubeba mzigo.
Baadhi ya watoto wakiwa wamezunguruka misaada iliyotolewa na Diamond.
Diamond akiwa amempakata mmoja wa watoto yatima.
Baadhi ya misaada iliyotolewa.
Diamond na meneja wake Joff wakiwa wamewapakata watoto.
Diamond na Joff wakikabidhi misaada.
Diamond , mama yake pamoja na mmoja wa wasimamizi wa kituo hicho wakishuhudia Joff akikabidhi msaada.
Diamond akiwa amelala kwenye kitanda cha watoto yatima hao.
Mtangazaji wa Clouds Tv, Shedee akibadilishana mawazo na mtangazaji mwenzie kituo hapo.
Diamond akiangalia jinsi Joff anavyosaini kitabu cha wageni.
Diamond naye akisaini kitabu cha wageni.
Mmoja wa watoto yatima akisoma dua mara tu ya kukabidhiwa misaada.

Tuesday, May 1, 2012

 

This Blog
Linked From Here
MY BLOG LIST/TOVUTI ZINGINE
This Blog
 
 
 
 
Linked From Here
 
 
 
MY BLOG LIST/TOVUTI ZINGINE
 
 
 

TASWIRA ZA SAFARI YA DIAMOND KUELEKEA DAR LIVE, MBAGALA NA HELIKOPTA KWA AJILI YA SHOW YAKE YA KIHISTORIA...!!!

Huyu ndiye Diamond mwingine hakunaga, akielekea kupanda helikopta kwenda viwanja vya Dar Live kufanya makamuzi jana Jumapili, 29 April 2012
Diamond akiwa na rubani wake wakielekea kwenye helikopta
Hapa nimemkubali maana hakuna kitu muhimu kama kujikabidhi mikononi mwa Mungu kabala ya kufanya jambo lolote
Yes Sir, Salute
Mashabiki full kupagwa baada ya kusikia helikopta ikiwasili na star wao
Helikopta ikingia uwanjani hapo chezeaaa
Dar Live palikuwa hapatoshi
Ilikuuwa patashika kwa mashabiki wa Diamond, Bless them
Helikopta ikamshushua ka kuondoka zake
Diamond akimsalute rubani wake na Mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama
Ni showbiz kwa kwenda mbele, hapa akisalimiana na mashabiki wake
Diamond akishuka kwenye gari tayari kwenda kufanya makamuzi
 Nimpende nani? Nimpende nani? hahaha nawaza kwa sauti tu

 full mzuka
 Mambo ya mavazi ya Diamonda na dancers wake naona yalikuwa ni mwendo wa US Marine Style
 Diamond akiwa amebebwa na dancers wake
 makamuzi yakiendelea
 Alitishajee
 Dar Live palikuwa hapatoshi
 Wakali Dancers walisindikiza show ya Diaomond
 Pamoja na mvua kubwa kunyesha mashabiki waliendlea kuburudika
Bwana misosi akikamua usiku wa jana
 Timbulo nae alikuwepo kukoga mashabiki
 Timbulo akiendelea na makamuzi
 Msanii wa kundi la Pah One akikamua

 Mvua haikuzuia show kuendelea
Mashabiki wakifurahia show