Sunday, May 6, 2012

Diamond akishuka kwenye gari.
ICON katika mziki wa Bongofleva Naseeb Abdul ‘Diamond’ jana alitoa msaada katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre ambacho mwanamuziki TID anadaiwa kula fedha za yatima wanaoishi katika kituo hicho kilichopo Kinondoni Hananasif jijini Dar.
Akizungumza na mtandao huu kabla hajakabidhi msaada huo, Diamond alisema kuwa kikubwa zaidi kilichomfanya hadi atoe msaada huo ni kuguswa na maisha wanaoishi  yatima hao.
“Unajua siku zote Mungu anasema unachokipata ugawane na wenzako, sasa mimi pamoja na meneja wangu Joffrey a.k.a Joff tumeona tutoe nusu ya kile tulichokipata  kwa hawa ndugu zetu wanaolelewa katika kituo hiki,” alisema Diamond.…

Diamond akishuka kwenye gari.
ICON katika mziki wa Bongofleva Naseeb Abdul ‘Diamond’ jana alitoa msaada katika kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre ambacho mwanamuziki TID anadaiwa kula fedha za yatima wanaoishi katika kituo hicho kilichopo Kinondoni Hananasif jijini Dar.
Akizungumza na mtandao huu kabla hajakabidhi msaada huo, Diamond alisema kuwa kikubwa zaidi kilichomfanya hadi atoe msaada huo ni kuguswa na maisha wanaoishi  yatima hao.
“Unajua siku zote Mungu anasema unachokipata ugawane na wenzako, sasa mimi pamoja na meneja wangu Joffrey a.k.a Joff tumeona tutoe nusu ya kile tulichokipata  kwa hawa ndugu zetu wanaolelewa katika kituo hiki,” alisema Diamond.

Baadhi ya mizigo ambayo ilitolewa kama msaada katika kituo hicho ikiwa bado haijashushwa kwenye gari.
Diamond akishauriana kitu na meneja kitu wake Joff.
Diamond akiangalia mizigo jinsi inavyoshushwa.
Diamond akimsaidia mama yake kubeba mzigo.
Baadhi ya watoto wakiwa wamezunguruka misaada iliyotolewa na Diamond.
Diamond akiwa amempakata mmoja wa watoto yatima.
Baadhi ya misaada iliyotolewa.
Diamond na meneja wake Joff wakiwa wamewapakata watoto.
Diamond na Joff wakikabidhi misaada.
Diamond , mama yake pamoja na mmoja wa wasimamizi wa kituo hicho wakishuhudia Joff akikabidhi msaada.
Diamond akiwa amelala kwenye kitanda cha watoto yatima hao.
Mtangazaji wa Clouds Tv, Shedee akibadilishana mawazo na mtangazaji mwenzie kituo hapo.
Diamond akiangalia jinsi Joff anavyosaini kitabu cha wageni.
Diamond naye akisaini kitabu cha wageni.
Mmoja wa watoto yatima akisoma dua mara tu ya kukabidhiwa misaada.

No comments:

Post a Comment