Huyu ndiye Diamond mwingine hakunaga, akielekea kupanda helikopta kwenda viwanja vya Dar Live kufanya makamuzi jana Jumapili, 29 April 2012
Diamond akiwa na rubani wake wakielekea kwenye helikopta
Hapa nimemkubali maana hakuna kitu muhimu kama kujikabidhi mikononi mwa Mungu kabala ya kufanya jambo lolote
Yes Sir, Salute
Mashabiki full kupagwa baada ya kusikia helikopta ikiwasili na star wao
Helikopta ikingia uwanjani hapo chezeaaa
Dar Live palikuwa hapatoshi
Ilikuuwa patashika kwa mashabiki wa Diamond, Bless them
Helikopta ikamshushua ka kuondoka zake
Diamond akimsalute rubani wake na Mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama
Ni showbiz kwa kwenda mbele, hapa akisalimiana na mashabiki wake
Diamond akishuka kwenye gari tayari kwenda kufanya makamuzi
Nimpende nani? Nimpende nani? hahaha nawaza kwa sauti tu
full mzuka
Mambo ya mavazi ya Diamonda na dancers wake naona yalikuwa ni mwendo wa US Marine Style
Diamond akiwa amebebwa na dancers wake
makamuzi yakiendelea
Alitishajee
Dar Live palikuwa hapatoshi
Wakali Dancers walisindikiza show ya Diaomond
Pamoja na mvua kubwa kunyesha mashabiki waliendlea kuburudika
Bwana misosi akikamua usiku wa jana
Timbulo nae alikuwepo kukoga mashabiki
Timbulo akiendelea na makamuzi
Msanii wa kundi la Pah One akikamua
Mvua haikuzuia show kuendelea
Mashabiki wakifurahia show
No comments:
Post a Comment