Tuesday, May 1, 2012

 

This Blog
Linked From Here
MY BLOG LIST/TOVUTI ZINGINE
This Blog
 
 
 
 
Linked From Here
 
 
 
MY BLOG LIST/TOVUTI ZINGINE
 
 
 

TASWIRA ZA SAFARI YA DIAMOND KUELEKEA DAR LIVE, MBAGALA NA HELIKOPTA KWA AJILI YA SHOW YAKE YA KIHISTORIA...!!!

Huyu ndiye Diamond mwingine hakunaga, akielekea kupanda helikopta kwenda viwanja vya Dar Live kufanya makamuzi jana Jumapili, 29 April 2012
Diamond akiwa na rubani wake wakielekea kwenye helikopta
Hapa nimemkubali maana hakuna kitu muhimu kama kujikabidhi mikononi mwa Mungu kabala ya kufanya jambo lolote
Yes Sir, Salute
Mashabiki full kupagwa baada ya kusikia helikopta ikiwasili na star wao
Helikopta ikingia uwanjani hapo chezeaaa
Dar Live palikuwa hapatoshi
Ilikuuwa patashika kwa mashabiki wa Diamond, Bless them
Helikopta ikamshushua ka kuondoka zake
Diamond akimsalute rubani wake na Mwenyezi Mungu kwa kumfikisha salama
Ni showbiz kwa kwenda mbele, hapa akisalimiana na mashabiki wake
Diamond akishuka kwenye gari tayari kwenda kufanya makamuzi
 Nimpende nani? Nimpende nani? hahaha nawaza kwa sauti tu

 full mzuka
 Mambo ya mavazi ya Diamonda na dancers wake naona yalikuwa ni mwendo wa US Marine Style
 Diamond akiwa amebebwa na dancers wake
 makamuzi yakiendelea
 Alitishajee
 Dar Live palikuwa hapatoshi
 Wakali Dancers walisindikiza show ya Diaomond
 Pamoja na mvua kubwa kunyesha mashabiki waliendlea kuburudika
Bwana misosi akikamua usiku wa jana
 Timbulo nae alikuwepo kukoga mashabiki
 Timbulo akiendelea na makamuzi
 Msanii wa kundi la Pah One akikamua

 Mvua haikuzuia show kuendelea
Mashabiki wakifurahia show

No comments:

Post a Comment